Home » » WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Bw. Stephen Wassira, amewapongeza wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwa kuamua kurudi bungeni ili kuendelea na mijadala ya Rasimu. Alisema wajumbe hao hawapaswi kubezwa bali wanastahili pongezi kwa kutambua umuhimu wa kutengeneza Katiba kwa maslahi ya nchi na Watanzania kwa ujumla. MFANO WA KUIGWA: TZ MODEL FLAVIANA MATATA AFANYA KITU KIKUBWA MKOANI LINDI LEO. BONYEZA HAPA

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Bw. Stephen Wassira, amewapongeza wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwa kuamua kurudi bungeni ili kuendelea na mijadala ya Rasimu. Alisema wajumbe hao hawapaswi kubezwa bali wanastahili pongezi kwa kutambua umuhimu wa kutengeneza Katiba kwa maslahi ya nchi na Watanzania kwa ujumla. MFANO WA KUIGWA: TZ MODEL FLAVIANA MATATA AFANYA KITU KIKUBWA MKOANI LINDI LEO. BONYEZA HAPA

KISIWA CHA BURUDANI | 10:12 PM | 0 comments

Share this article :
 
Copyright © 2011. KISIWA CHA BURUDANI - All Rights Reserved