Home » » taifastar ya kamatiwa gari

taifastar ya kamatiwa gari

KISIWA CHA BURUDANI | 4:56 AM | 0 comments
Deni hilo linatokana na gharama za uchapishaji tiketi za kuingilia uwanjani katika mechi za ligi kuu ya Tanzania tangu mwaka 1997.
TFF kwa sasa iko katika mpango wa kuuza tiketi za uwanjani kwa njia ya ki-eletroniki (umeme) ikiwa ni sehemu ya jitihada ya kupunguza adha kwa wapenzi wa soka na kudhibiti wizi na ulanguzi wa tiketi.
Wambura amesema jitihada zinafanyika kumaliza deni hilo, ila TFF italifuatilia kwa umakini na kuchunguza mwenendo mzima uliosababisha kuwepo deni hilo.
Share this article :
 
Copyright © 2011. KISIWA CHA BURUDANI - All Rights Reserved